KAMA UMESOMA MEMKWA PITA APA....

micky 00

Member
Apr 24, 2017
98
98
Daaa nawakumbuka sana awa jamaa walio somaaa memkwaa ...wanakuwaga wakolofii sana yaaniii si wanakuwa wakubwaa ..nimesomaa shule moja ivii inaitwaa ''azimio pr skul mwaka 2005 kuna jamaa alikuwa anaitwaa...benson alikuwa anasoma memkwaa ko ikifikaa tuu mida ile after break ...anakuja kuchangisha hela amsini ...amsin asa uwe umetumiaa pesa yote break utapata cha motoo ..atakupa kipiga icho hatar .......... Wa memkwaa mpite apa bhanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…