Cha ajabu sasa mi kabla sijanunua niliwahi kuliona kwa mshkaji anatumia, tena alidumu nalo tu na alikuwa akihama chumba anapangua na kulipanga upya fresh tu.
Kilichonikuta mimi, kwanza ile kuliseti sijui kama nilipatia... na mbaya zaidi ilikuwa chumba cha watoto yaani kila siku linaporomoka!