Job hunting

cutelisa

Member
Joined
Jun 3, 2017
Posts
32
Reaction score
58
Good morning, I'm here on behalf of Kefas,

He's 27 years old, studied up to form Six. looking for a job.

SKILLS
Driving
Microsoft Office
Speak and write in fluent English

EXPERIENCE
sales manager at Manows Company August 2016- February 2017

Supervisor at Manows company March 2017- August 2018

STRENGTHS
Adaptability
Team work
Creativity
Conflicts resolution

WEAKNESSES
Multtask
Allow emotions to show

LOCATION
Reside in Dar es salaam
Willing to work any region in Tanzania

CONTACTS
0676868660
 
Samahani mkuu Cv ipo vizuri ila pia ungeandika kwa lugha ya RAIS itapendaza sana na kwa jamii yetu pia utaonekana upo seriasi na unacho kitafuta.
Maana naona kama vile wadau wameupotezea uzi wako.
 
Tegemea kuulizwa swali lifuatalo kwenye usahili kulingana na hiyo cv.
Why he dropped from Sales Manager to Supervisor in the same company?
 
Tegemea kuulizwa swali lifuatalo kwenye usahili kulingana na hiyo cv.
Why he dropped from Sales Manager to Supervisor in the same company?
πŸ˜€πŸ˜€ Bila shida ni Target hapo hizi kazi nazichukia sana asee za Sales tena upate kiwanda cha MUHINDI dah.
 
Mimi mwenyewe kwenye kazi zote za sales/marketing zinanishinda
Wahindi wajinga sana kuna kiwanda kikubwa sana hapa Tz kipo ARUSHA kile cha kalalia babu na bibi walikuwa wanamlipa Mshikaji wangu 350,000 na alikuwa Dept ya Accounts bado wakamuongezea majukumu ya Sales Supervisor kwa kumuongezea mshahara wa 50,000 ko jumla 400kπŸ˜„πŸ˜„ jamaa wanatuonaje sijui kama huna moyo hufanyi kazi nao bora hata Halmashauri kuliko Wahindi.
 
Hao wahindi kumbe ndio walivyo,Kuna siku waliniita Interview nikaenda waliponiuliza kuhusu mshahara nikawaambia nahitaji milioni 4 wakaduwaa sana.
Baadae nikaondoka Hadi leo hawakuniita.
Wanafikiri watanzania wote ni vilaza.
 
Yeah Ovyo sana Hao wangekupa u manager huku wanakulipa 500k

Huku Wanaingiza hadi 3.5B kwa miezi mitatu ya mwisho wa mwaka wajinga sana hawa.

Yaani interview za Wahindi nilishagonga sana Ukitaja tu mshahara juu ya laki 6 utasikia sawa tutakutaarifu baada ya siku chacheπŸ˜„πŸ˜„ sijui wanaambizana waswahili wote wanapenda kulipwa 300k hadi 500k.
 
Haha
 
Kufanya kazi na wahindi raha sana tatizo hamuwajulii hata kidogo, wahindi wengi hawafuati sheria na wana kona nyingi sana, mi nafanya nao kazi kwa 400k lakin natengeneza zaidi ya hiyo. Kupitia magumashi yao nna askari wangu nampigia simu anakuja wakishikwa rushwa wanatoa hata 10m wasiende polisi kwa hyo tunagawana na askari siku zinaenda. Muhindi hutoboi kwake bila kumuibia
 
Ila hii njia ni hatari mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…