Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi


Hivi bro, wewe unataka kila binti unayemuona akufurahishe!???
 
Angel Nylon

Ipo inayowezekana kutibika; cha maana hapo ni kumuona mtaalam bingwa wa ngozi. Maana kuna mingine huwa ni muonekano wa mishipa midogo midogo ya damu kwa kuwa ngozi ya juu imeharibiwa kwa kemikali, na kuna mingine huwa ni ngozi imetanuka na kuacha nafasi kama vile nailoni lililovutika. Nilisikia Wema ametatua tatizo hilo kwa kufanyiwa plastic surgery China.
 
Last edited by a moderator:

Aiseeeee!!!! Una safari ndefu sana ktk kujua mabadiliko ktk umbile la wanawake.
 
Bora wale wanaovaaa full suti..baibui na madera...utaishtukia uwapo nae 6 x 6 Wanaaume mnachunguzaa,ukishunguza sana kidudu chako hakitaaamka kitashindwa na kitalegea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…