Mkuu kidzogolae;
Orijino Komedy kuigiza mbele ya Quality Group building still sio evidence ilosimamia kucha.
Kwahiyo hao jamaa wakiigiza mbele ya ofisi za Vodacom au kudhaminiwa na Vodacom utasema imenunuliwa na Mheshimiwa R.A?
Plz kama una maanisha unachotetea then leta hoja with evidence...una haki ya kutoa maoni/fikra zako.