hahahahah naomba nisiongee chochote kwani jioni hii naenda kushiriki Meza ya Bwana nitaharibu maandalizi yangu ila next wiki lazima ni-comment hapa kwa undani zaidianakosea mambinu, anakuta kitu kimeshatinga kwenye mtando mwingine..........anaanza oooh!! ww vipi, sijui nn na nn.
wanahanagika hata hujui kama anasikilizia kitu au vipi.....hujui anaumia aua anafurahia..
Mkuu, tumeli-discuss hilo, tumeona kuwa, kongoro sio nyama kwani ina ngozi, tendons na mifupa.Mkuu hii sala nakumbuka mara ya mwisho niliipata kwa Mmisionari mmoja aliyekuwa kule Tunduru. Asante
Na hapo kwenye red wameshaenda wote kupata nyama ya kutosha si unajua kesho ni namba witiri haigawanyiki bilabila
inabidi tui-sort hii issue siku ingine.........new stread bana.hahahahah naomba nisiongee chochote kwani jioni hii naenda kushiriki Meza ya Bwana nitaharibu maandalizi yangu ila next wiki lazima ni-comment hapa kwa undani zaidi
Duh!! Hii agreement imetulia kweli lakini tungempata Askofu Kilaini ndie angemaliza utata huu bahati mbaya Papa kamuhamishia huko Bukoba. Ila hilo kongoro inabidi lianze kutumika baada ya saa tisa jioni. Salute for agreement, ngoja nikalisainiMkuu, tumeli-discuss hilo, tumeona kuwa, kongoro sio nyama kwani ina ngozi, tendons na mifupa.
kwa hiyo, wapwa wamesema ruksa kula kongoro kesho
Ni kweli hii inahitaji thread yake kupambanisha mabinti wanaojua majambozi kwa mbinu asilia na wale wanaojua majambozi kwa mbinu za kwenye vitabu na magazeti ya udaku.Nani ataibuka kidedea tusubiri next weekinabidi tui-sort hii issue siku ingine.........new stread bana.