Je unajua kuwa wanaume weupe ndio wanaongoza kwa kuumiza mioyo ya mabinti?

nashukuru mungu sijatendwa ila mashost zangu wa karibu wametendwa jamani hadi huruma. Halafu mijanaume yenyewe iliyowatenda we acha tu. Aliyesema mapenzi upofu hajakosea.
me mwenyewe hawa wavaa suruali wananiudhi kama nini?nafikiria kuwa mtawa nimechoka na kero zao
 
hahaha.........hakuchimbi mtu mzee we kama ni mweupe tupe experience yako na watoto wa kike
Tears are the Words in the Heart, that can not be spoken 2010 - CAUSED BY WEUPE

Naona tunachimbana sana humu
 
Jamani FL mimi ni mweusi ndi... halafu mrefu wa futi 6....! then, natangaza nia...
 
tears are the words in the heart, that can not be spoken 2010 - caused by weupe

naona tunachimbana sana humu

juzi ilikuwa ni kimey....habari yake mfu.....
Leo ni gy......habari yake wai...
Kesho sijui atakuwa ni nani??????
 
Mh wantisha mwenzio! nna katoto kangu kakiume ni keupe ina maana katakuwa hivyo! Inawezeka wana ile tabia yakujiona mahandsome, hivyo kutumia mwanya huo kuwahurt mabinti! But mi naona usaliti uko kila mahala regardless of the skin colour ni tabia tu ya mhusika...
labda first lady unaexperience mwenzetu
 
Well spoken Maty...akina dada komeni kuwababaikia wanaume weupe, au mnataka kuzaa mahalf cast??
 
Nimesoma karibu post zote nikafikia hitimisho kuwa hii nadharia iko subjective sana! Kwenye mapenzi huwezi kuja na konklushen moja ambayo itajibu hoja zote. Hao wanaotaka wanaume weupe wengi wao ni weusi. Mi ni mweusi ila wanawake maji ya kunde wananivutia zaidi. Na ninavutia rangi zote za kike. Uzuri ni hali na si muonekano tu
 
Hivi katika matumizi ya ndomu mbona kina dada wanajitoa kama hawausiki katika kushawishi uvaaji au na wao wanapenda kuchukuchu kusikilizia utamu?

Unaposema ni mabingwa wa kula pipi bila ganda inakuwa kama vile wanakuwa wenyewe kwenye game....
 
Duu!!! hivi wote weupe wako hivyo? Mbn mie hao weusi wameniumiza, Tabia zao zinafanana
 

Bora mimi blackiiiiiiiiiiiiiiii

 
Nimetafakari sana, nimeumizwa sana na hii topic lakini nimeona ngoja nijitoe coz nna conflict of interest lazima ntakuwa biased!!!
 
Nimetafakari sana, nimeumizwa sana na hii topic lakini nimeona ngoja nijitoe coz nna conflict of interest lazima ntakuwa biased!!!
hahaha ngoja tutafute mafuta ya bunduki bana!!
 
Nimetafakari sana, nimeumizwa sana na hii topic lakini nimeona ngoja nijitoe coz nna conflict of interest lazima ntakuwa biased!!!

Mkuu ilianza na wanaume wafupi, ikaja weupe, itaenda kwa wanene, itahamia kwa wembamba, then kwa wenye vitambi, halafu kwa wenye vipara..............and then................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…