Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,945
- 221,396
Haya maneno nadhani ndio sababu kuu.nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana
Lawama ziwaendee wanaomtuma huku wakijua hali halisiama kweli hakuna ngoma inayo Kesha daima, zama za comrade kinana zime Isha.
HakikaBwana yule alishajua ukienda na hoja kwa Lissu atakupiga KO, akajaribu mtutu bahati pia kumbe Lissu ni mpango wa Mungu ikashikana.
Leo ndio nimeamini CCM siyo ile yenye majigambo! Niliamini watakuja na jibu lenye hoja! Kumbe CCM hoi imezeeka, haina uwezo tena, sasa ni kuipumzisha tu. KTK majibu ya Kinana, alishindwa hata kutamka jina Tanganyika!Kwa Taarifa nilizonazo ni kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anapanga kufafanua na kupangua Upotoshaji wa Mzee Kinana, huu alioutoa leo kwa Waandishi wa Habari.
Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana ?
Mi nijibu Kichwa cha Mada tu:Kwa Taarifa nilizonazo ni kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anapanga kufafanua na kupangua Upotoshaji wa Mzee Kinana, huu alioutoa leo kwa Waandishi wa Habari.
Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana ?
Ngoja nirudi. Sasa nimesoma mstari wa mwisho wa mada, na jibu ni HAPANA.Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana
Nasikia kasusa, hata ikulu kagoma kwenda. Yuko zake chumbani kwa Hafidh anaangalia video clips za Lisu alipokuwa akihutubia MorogoroMama bado kajifungia ndani? Hatoi hata pole kwa waliofikwa na mafuriko?
Kwa Taarifa nilizonazo ni kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anapanga kufafanua na kupangua Upotoshaji wa Mzee Kinana, huu alioutoa leo kwa Waandishi wa Habari.
Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana ?
Tena vibaya mno, kinana kwisheniKwa Taarifa nilizonazo ni kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anapanga kufafanua na kupangua Upotoshaji wa Mzee Kinana, huu alioutoa leo kwa Waandishi wa Habari.
Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana ?
Ngoja tuoneKwa Taarifa nilizonazo ni kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anapanga kufafanua na kupangua Upotoshaji wa Mzee Kinana, huu alioutoa leo kwa Waandishi wa Habari.
Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana ?
TrueWatanzaia wengi ni wajingawajinga sana, Watantanyika wachache tu ndo wapo Smart kichwani.
KabisaNgoja tuone