Naomba kujua kama Tanzania kuna kozi iitwayo Bachelor of Military History and Diplomacy. Inatolewa chuo gani? Pia wanachukua wanafunzi wenye sifa zipi?
Naomba kujua kama Tanzania kuna kozi iitwayo Bachelor of Military History and Diplomacy. Inatolewa chuo gani? Pia wanachukua wanafunzi wenye sifa zipi?
Naomba kujua kama Tanzania kuna kozi iitwayo Bachelor of Military History and Diplomacy. Inatolewa chuo gani? Pia wanachukua wanafunzi wenye sifa zipi?
UDSM ipo wala haufunzwi mafunzo ya kijeshi huko unajifunza tu masuala ya diplomasia na vita hasa katika historia ,yani hiyo ni kozi yakawahida tu kama zingne na adimission requarement zake uwe na two princpal pass hasa za masomo ya arts.