C chris01 Member Joined Feb 15, 2014 Posts 29 Reaction score 16 Jan 17, 2015 #1 Ninaamini Siasa si Uadui na kuwa na urafiki na Mtu si lazima kukubaliana nae kila kitu asemacho. Naomba wanajanvi mniambie wanasiasa hawa wakongwe ni kweli lazima wawe team ili nchi iendelee kijamii, kiuchumi na kisiasa
Ninaamini Siasa si Uadui na kuwa na urafiki na Mtu si lazima kukubaliana nae kila kitu asemacho. Naomba wanajanvi mniambie wanasiasa hawa wakongwe ni kweli lazima wawe team ili nchi iendelee kijamii, kiuchumi na kisiasa
M majeshi 1981 JF-Expert Member Joined Dec 7, 2013 Posts 2,090 Reaction score 813 Jan 17, 2015 #2 lowassa anaomba uungwaji mkono wa mwamba wa kaskazini!
POMPO JF-Expert Member Joined Mar 12, 2011 Posts 6,690 Reaction score 2,402 Jan 17, 2015 #3 Thread za kitoto