Mh Msindima mbona hii kali? mwenzangu huyo akiingia ndoani atakumbana na Donts kibao!
wanafanyia wapi kale kamchezo?
wanafanyia wapi kale kamchezo?
ahahahhaha, jikoni!!!! ako kamchezo hakana mahal maalum. eh lakini hii kali.
chinga1 anawaza
hahahaha wakimwaga mboga je? au wakichafua vyombo si balaa. Mala matumbo mala yanafulugha duh akipiga kujiexpress si unajua ile ukitoa tu kitu kinatoka kama moshi wa gari la diesel fyuuuuuuuuuu kwenye vyombe na ugali hahaha.
nakweli, hebu waulize kwanza, hata kama ni jikoni we huwezi siku ya kwanza tu demu wako mkabanjukia jikoni, atakushangaa!
ehe.. hebu twambie siku ya kwnaza mnabanjukia wapi?
wewe shishi unakuwa kama hujawai fanya siku ya kwanza kama mpo kijijini unapiga porini ila kwa hapa town unachukua ile ya kulipia kwa sekunde mjengo.
haki ya nani nakupiga boot siku hiyo hiyo ati porini??????
Utakuwa una ubavu huo wkt upo tayari kwenye himaya yangu kama unanisindikiza vile aaah lazima njiani nikugeuze nakuvutia porini cha fasta fasta bana. Ombea sehemu iwe na siafu hahahaha
...Hataki mtu aingie!! huyo dada anafananishwa na mtu mwingine c mchumba, makubwa, Kwahiyo huyo dada ni mwizi?
Hebu tufafanulie kwa kirefu mahusiano yao.