R ray jay JF-Expert Member Joined Sep 27, 2011 Posts 1,084 Reaction score 485 Oct 6, 2015 #1 Mgombea Ubunge Jimbo la Bumbuli Ndugu January MAKAMBA alipozungumza na umati wa wakazi wa jimbo la bumbuli Mkoani TANGA. Kwa umati huo ni ishara tosha kua anasubiri tu kuingia bungeni kwani wapinzani wake hamna kitu. Attachments 20151006122625.jpg 71.7 KB · Views: 178
Mgombea Ubunge Jimbo la Bumbuli Ndugu January MAKAMBA alipozungumza na umati wa wakazi wa jimbo la bumbuli Mkoani TANGA. Kwa umati huo ni ishara tosha kua anasubiri tu kuingia bungeni kwani wapinzani wake hamna kitu.
E EMK Member Joined Dec 20, 2012 Posts 51 Reaction score 6 Oct 6, 2015 #2 Hayo ni mawazo yako ndugu, subiri uchaguzi ufanyike ndo uandike haya, huwezi ukatuaminisha kitu unachokiamini nasisi tukiamini. Pole sana
Hayo ni mawazo yako ndugu, subiri uchaguzi ufanyike ndo uandike haya, huwezi ukatuaminisha kitu unachokiamini nasisi tukiamini. Pole sana
R ray jay JF-Expert Member Joined Sep 27, 2011 Posts 1,084 Reaction score 485 Oct 6, 2015 Thread starter #3 EMK said: Hayo ni mawazo yako ndugu, subiri uchaguzi ufanyike ndo uandike haya, huwezi ukatuaminisha kitu unachokiamini nasisi tukiamini. Pole sana Click to expand... hahaha, ushindi ushapatikana, siasa ni sayansi mzee
EMK said: Hayo ni mawazo yako ndugu, subiri uchaguzi ufanyike ndo uandike haya, huwezi ukatuaminisha kitu unachokiamini nasisi tukiamini. Pole sana Click to expand... hahaha, ushindi ushapatikana, siasa ni sayansi mzee