FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,149
- 1,470
Hapana, hatutaki ID ya mtu. Kuna maswali utaulizwa yataeleza kama wewe umekaa muda uliosema au unazingua tu
Hapana, hatutaki ID ya mtu. Kuna maswali utaulizwa yataeleza kama wewe umekaa muda uliosema au unazingua tu
kama utapita kwenye first selection nahisi ndipo itakapohitajika hiyo ID ya jf ukiwa nao kwenye proceeding interviews.nimeona kigezo kimoja muombaji awe na ID yenye muda usiopungua mwaka mmoja na iliyokuwa hai, kwahiyo kuna haja ya kutaja ID yako ndani ya hiyo cover letter?
kama sivyo watawezaje kujua muda wa ID ya muombaji!!
na cover letter ya intern eti una mention post?INTERNS (4)
OVERVIEW
JamiiForums is a non-governmental organization that promotes and advocates for Freedom of Expression, Internet governance, Internet Freedom, Digital Security, Digital Protection and ICT-for-Democracy. JamiiForums works to have an informed, engaged and entertained community.
JamiiForums aims to nurture and mentor the youth into young leaders with better understanding of the Internet, laws and regulations affecting the cyber space which all go line with Jamii Forums strategy in promoting and advocating for Freedom of Expression, Internet governance, Internet Freedom, Digital Security, Digital Privacy and ICT-for-democracy. The intern will be assigned according to interest and attributes towards what best they can do.
RESPONSIBILITIES
The following are the Responsibilities of an intern
QUALIFICATIONS, EXPERIENCE AND SKILLS
- Seeks information from mentors and colleagues regarding the history, purpose and mission of JamiiForums
- Works with social media engagers and content moderators in ensuring discussions on the forum and social media outlets run smoothly
- Helps the programs team implement program events and activities by giving support
- Participates in in-house meetings where local issues are identified and prioritized, and program results and plans are discussed
- Assists in preparations for planned events and activities by gathering information, assembling materials, contacting participants, and soliciting support from external sources.
MODE OF APPLICATION
- A Bachelor’s degree
- An active member with a Minimum of 1 year of membership on JamiiForums
- Very good command of English and Swahili languages; English proofreading is a plus
- Very good computer skills (MS Office, Internet)
- Well organized and Aggressive
- MUST be impartial
Interested applicants should send their CVs and cover letters to: vacancies@jamiiforums.com. The application email should be titled "Application for an Intern Post". DO NOT send us your username(s) on JamiiForums.
DEADLINE OF APPLICATIONS
The Closing date is the 27th of July, 2019 EoD. Only successful applicants will be contacted for an interview. Successful candidates should be ready to start work immediately (preferably August 2019)
Each individual should apply to only one position that fits them the most.
Naomba kuuuliza kuhusu post 4 zilizotangazwa na JF "INTERNS" . Naomba kufahamishwa machache kabla sijafanya uamuzi mgumu;
1. Mosi, Naomba kujua kama ni "Paid" maana kwa kawaida ama sehem nyingi Interns ni kazi za kujitolea na kujifunza zaidi ambapo interns mwenyewe anajigaramia ili apate ujuzi ama uzoefu kabla ya kuingia ajirani rasmi.
2. Napeda kufaham kama baada ya muda fulani hawa 'Interns" watakuwa employed ama promoted to permanent positions as per area of their interest/ specialization ama after a time watalazimika kwenda kutafta ajira sehem nyingine baada ya kumaliza internship yao JF?
Naomba kuwasilisha.
ndiyo kaka, kama ukisikia utanisaidiaBro hujapataga ajira bado?
Bado!Bro hujapataga ajira bado?
Na kingine Cha kuongezea hapa.Sasa mbona Swali lako uliloliuliza tayari umeshajijibu mwenyewe hapo katika Kipengele chako cha # 1 Mkuu? Na kuhusu Kipengele chako cha # 2 nadhani hapo Jibu sahihi ni Majaliwa yake tu Mwenyezi Mungu pekee. Mwisho kabisa nakushauri jibiidishe vyema katika Kulielewa neno hilo la INTERN ( INTERNS ) tafadhali kwani nadhani kama ungekuwa umelielewa vyema kabisa wala usingekuja na haya Maswali yako Mawili uliyoyawasilisha hapa Mtandaoni.
Kwakua una cheti changu cha kuzaliwa ndio maana unathubutu kunijumuisha 'mimi' na watoto, sijui wanao?Na kingine Cha kuongezea hapa.
Anasema anahitaji majibu kabla hajachukua maamuzi magumu,maamuzi gani magumu hayo?kutuma CV kwa email ndio maamuzi magumu?Watoto wa siku hizi ni wavivu mno wa kujishughulisha na pia hata kufikiri ni wavivu mno.
Mimi ningemuona mjanja angeomba akasubiri kufanya interview then akishapata hyo nafasi haya maswali yake ndio angeenda kuulizia kule kule kwenye kazi na akiona hailipi anaweza kuacha tu hakuna mtu atamlazimisha.
Sasa Kama unafit kwenye nafasi zote kwa nini uombe nafasi ya internship?Kwakua una cheti changu cha kuzaliwa ndio maana unathubutu kunijumuisha 'mimi' na watoto, sijui wanao?
Nadhani ni suala la uelewa tu, wengi wenu naona mmesoma thread yangu ili mnijibu. Na majibu unaweza kutoa yeyote hale hata kama yanatoka nje ya mstari, badala ya kusoma muelewe then ndio mjibu, tena sio kuinijibu mimi binafsi ila kwa faida ya wengine wengi wanaotatizika hapa.
Pili, Nafasi zipo 9 lakini hata kama unafit nafasi zote, lakini masharti ni kuomba nafasi moja pekee. Hapa ndiyo hasa maamuzi magumu niliyomaanisha. Hata hivo nakushukuru kwa kushiriki kwenye mjadala.