Pole mkuu, kosa hilo halijafanywa na wewe tu, wanaume wengi hukosea sana. Tumewaoa kwa kazi maalum na mara zote jukumu tulilowaletea kwetu na tukaambatana nao kuwa mwili mmoja hua halipewi kipaumbele. Hawajaletwa kustarehe na kunua makochi au fanicha hao, wape shughuli waliyoijia watatulia oohhooooo!!!! kalaga baho