Jamani post za A level ni lini?

Wanaochagua ni Walimu Wakuu !
Kila mkuu washule anaenda pale kujichagulia Wanafunzi wake !

Na Wakuu wa shule bado wapo shuleni sahizi !

Sasa pigia mahesabu mwenyewe

:closed_2:
 
dogo nenda tuition kwanza. ..piga hata nusu ua syllabus za masomo yako. Kwann unapata headache wakati kuku ni wako? atakuja tu bandani mida ikiyoyoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…