My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,335
Mke siku izi hatafutwi kwa namna hii mkuu. Yani ukiwa unapambana sana kutafuta mke, utapata ambaye sie. Ww endelea na mishe zako za kujiendeleza kiuchumi.. halafu atatokea tu pasipo hata ww kuhangaika. Kama ni mambo ya kitanda.. mbona wengi walio kwa ndoa wala hawafanyi hata miezi na miezi. Yani wanakerana hadi hawana hamu. Na hata wa ndoa ni rahisi kukuletea waya sababu unamwamini na haupimi. Bora uendelee tu.. ila hakiki kupima hauachi au protection.. good luck mkuu.Duh...nitazini hadi lini? Mwisho wa siku nitakuja kukanyaga mawaya Bure, nataka mke jamani,nipo extremely serious nataka mke mie jamani.
Sifa
Awe kutoka kabila lolote na Taifa lolote Duniani [emoji2380][emoji1036][emoji1034][emoji1025][emoji1035][emoji1024][emoji1038][emoji1027][emoji1256][emoji1083][emoji1071][emoji1075][emoji627][emoji1227][emoji1135][emoji1140][emoji1151][emoji1067][emoji1138][emoji1151][emoji1061][emoji1136][emoji1127][emoji1142]
Asiwe mrefu sana,awe moderate, angalau basi awe na shepu hata kidogo asiwe kapigwa pasi,rangi yoyote.
Awe tayari kupima HIV.
Awe mpole,mwerevu,msikivi,na mjanja kidogo,asiwe mjuaji mjuaji.
Asiwe mwanachama wa CCM,ni Bora awe mpagani ni rahisi kumbadilisha kuliko kuwa mwanachama wa CCM.
Awe tayari kuishi popote Duniani au Tanzania sehemu yoyote.
Mambo yote tukutane pm.
ππππππnimecheka sanaπ€£π€£π€£π€£π€£.πππ
Mdogo wangu Saint Anne huwa nakuambia kila siku kuwa 'sisiemu' kutakukosesha fursa nyingi, Ona sasa ushakosa mume..!
Baba mtumishi Pep tuna maombi ya kufunga week hii tafadhali sana.!!
Mkuu kwanini haututaki sisi wa kijani kibichi?Duh...nitazini hadi lini? Mwisho wa siku nitakuja kukanyaga mawaya Bure, nataka mke jamani,nipo extremely serious nataka mke mie jamani.
Sifa
Awe kutoka kabila lolote na Taifa lolote Duniani [emoji2380][emoji1036][emoji1034][emoji1025][emoji1035][emoji1024][emoji1038][emoji1027][emoji1256][emoji1083][emoji1071][emoji1075][emoji627][emoji1227][emoji1135][emoji1140][emoji1151][emoji1067][emoji1138][emoji1151][emoji1061][emoji1136][emoji1127][emoji1142]
Asiwe mrefu sana,awe moderate, angalau basi awe na shepu hata kidogo asiwe kapigwa pasi,rangi yoyote.
Awe tayari kupima HIV.
Awe mpole,mwerevu,msikivi,na mjanja kidogo,asiwe mjuaji mjuaji.
Asiwe mwanachama wa CCM,ni Bora awe mpagani ni rahisi kumbadilisha kuliko kuwa mwanachama wa CCM.
Awe tayari kuishi popote Duniani au Tanzania sehemu yoyote.
Mambo yote tukutane pm.
Mtumishi mwenzangu Carleen inabidi tukae kitako tujadili tunafanyaje huu mfungo kwa ufanisi zaidi.πππ
Mdogo wangu Saint Anne huwa nakuambia kila siku kuwa 'sisiemu' kutakukosesha fursa nyingi, Ona sasa ushakosa mume..!
Baba mtumishi Pep tuna maombi ya kufunga week hii tafadhali sana.!!
Saint Anne unafahamu wazi "In the Middle Ages, the color green came to represent inconstancy, betrayal, and unreliability. For example, Judas was often depicted wearing green clothing"
Source;- bestlifeonline.com
Nilijua tu utakuja kukazia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtumishi mwenzangu Carleen inabidi tukae kitako tujadili tunafanyaje huu mfungo kwa ufanisi zaidi.
Imagine muwowaji anakosekana kwasababu ya rangi za ajabu ajabu.