Itel A12 flasher na ROM hii hapa nimeleta tena solution

Mbona inaomba password niki-extract?
Jukwaa la tech kila kitu ni free. Kama ni biashara ni bora ungepeleka jukwaa la biashara.
 
Mbona inaomba password niki-extract?
Jukwaa la tech kila kitu ni free. Kama ni biashara ni bora ungepeleka jukwaa la biashara.
Simu kama iyo unayo???wapi kumewekwa bei mkuu
 

Km siyo biashara. Tupe password
Na Mungu atakubariki. Kuna wakati unajizibia ridhiki ww mwenyew. Ww kila kitu hela.
Watu wenyew roho nzuri wametengeza sotware buree km Splash tool, upgrade n.k halafu sasa kuonesha wao wana roho nzuri zaidi wamecrack miracle box, nck, avangers n.k ili kuwapa watu wasiokuwa na uwezo na zote zinapatikana bureeee ni ww na bundle lako tu lkn miafrika hiyo hiyo crack inayotolewa bure yy anauza.
Ndiyo maana wafrika kwenye masuala ya tech tupo nyuma sana tena sana.
 
mkuu wapi nilipoandika bei????kuandk unitafute aina maana kwmba naitaji pesa
 
mkuu wapi nilipoandika bei????kuandk unitafute aina maana kwmba naitaji pesa
Maelezo ya kuflash yamekamilika. Sasa hapo unaposema tukutafute ndiyo hela yenyew na file umeweka password. Unategemea mtu akutafute umpe password bila kumtoa hela?
Haujaweka bei lkn mbona file linapassword? Mtu akikutafute unampangia bei 20,000.
 
Mwenye unclock file za halotel model hizi msaaada pliiz
[emoji1485]h6301
[emoji1485]h6302
[emoji1485]h6307
[emoji1485]h6308
[emoji1485]h6309
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…