Is it CPU or MOBO?

simplemind

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2009
Posts
16,760
Reaction score
9,667
Msaada waatalam wa computer.Hivi majuzi desktop imegoma ku start kabisa,nilihisi tatizo ni PSU lakini baada ya uchunguzi nilibaina output voltages zote sawa.Nimetrace tatizo down to mobo au cpu.Fault kwenye mobo au cpu inasababisha ATX ku shutdown.Je ipo njia rahisi ya kujua ni kipi kati ya mobo na cpu ni kibovu?Note:sina spare mobo ya kuweza kutest cpu by swapping.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…