Tatizo kubwa linalowasumbua wote hawa ni hali za kiuchum kuwa tete,lait km Israel au hao mabwana zake wangelikua wapo vzr kiuchum kuweza kufadhili vita vya muda mrefu bila shaka wangelikua wameshalibwaga lkn tatizo hakuna ambaye yupo tayar kuingia kwenye hiyo vita ambayo bila shaka haitokua ya muda mfup.