Iran yavunja mkataba wa nyuklia kwa kurutubisha Uranium licha ya kuonywa

Iran kaanza hayo mambo toka lini na chumi zoa zimeanza kuyumba lini iran mwamba mkuuu
 
Nieleweshe mkuu
Marekani na waitifaki wake hawapo vzr kiuchum na ndio maana Israel ingawaje anatumia nguvu kubwa kuomba Iran apigwe lkn hao mabwana zake hawaonyesh ushirikiano ukizingatia hiyo vita yaweza kuwa ya muda mrefu na Israel kwenda mwenyewe bila ya ufadhili wa mabwana zake haiwezekan. Nilimaanisha hv.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…