Iphone X inauzwa

IKB

Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
75
Reaction score
29
Habari wadau, nauza Iphone x 256Gb
Imetumika kama miezi mitano naiuza baada ya kununua x max, sio mbovu haina creck wala haijachunika.

Bei Tsh 1.400,000

Mawasiliano +255659778873
Whatsapp +255744778873
 
Yaani unamaanisha milioni moja na laki nne (1,400,000)??
 
Mkuu uo mzigo GB256 afu unauza bei cheee sana ..iyo 1.4 ni bei ya 8+ uko..ila kama kwa iyo bei ni sawa kwako fresh!! Utapata tu...
 
Huu ni mtumba wa mtanzania ujue imekoma kwa kusuguliwa
Mkuu uo mzigo GB256 afu unauza bei cheee sana ..iyo 1.4 ni bei ya 8+ uko..ila kama kwa iyo bei ni sawa kwako fresh!! Utapata tu...
 
Sasa ulitaka hii simu iuzwe kiasi gani??..wakati ikiwa mpya ilivyotoka ilikuwa inatembea kwa 2.7m+
Hamna mkuu nilidhani labda umesahau umeongeza sifuri bahati mbaya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…