Iphone 4 inauzwa

unaiuza sh ngapi kama upo serious na biashara weka kila kitu wazi au unapenda kupigiwa simu hovyo hovyo??.

ukiweka bei itasaidia pia kwa maana ukiona mtu anakupigia utajua kabisa huyu ni mnunuaji au kakaribia kufikia bei yako sasa ww unaweka namba yako nakusema upigiwe watu watakupigia mwisho wa siku anakwambia ana elfu 30 sijui 50 utamlaum??

siku zote ukiwa smart kwenye mambo yako lazima yatakwenda smart tuu siku zote hakika.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…