Wakati wewe unaleta masihara kwenye mambo ya msingi,wenzio tupo humu jamvini ku make something.nini maana yakuweka namba ya simu???inaelekea hukua seriouse kwanza umeanza kwa ku egnore wakati hata hukutaka kuspenda time just getting to know it,poa,next time ntakucheki na kitu kingine cha apple kwa sasa ninayo iphone 4, 16gb.