1. icloud address ni ya nani? Na Je una password zake ili niweke zangu?
2. Imetumika kwa muda gani?
3. Je ni yako mwenyewe?
4. Inakasoro gani?
5. Ina michubuko yoyote kwenye kioo (original kioo sio protector)
Jibu maswali hayo alafu uje haraka tufanye biashara nataka kuitumia kwa kazi za injili.
utani Tag nije haraka...