D didacusm New Member Joined Jul 29, 2015 Posts 3 Reaction score 0 Aug 21, 2015 #1 Jaman nani anisaidie jinsi ya ku unlock icloud kwenye ipad yangu.......0655048006 kama utaweza
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Aug 21, 2015 #2 didacusm said: Jaman nani anisaidie jinsi ya ku unlock icloud kwenye ipad yangu.......0655048006 kama utaweza Click to expand... Kama inatumia iOS kuanzia 8.0 imekula kwako. Huyo aliekuuzia au kukupa kwambie akupe apple id na password.
didacusm said: Jaman nani anisaidie jinsi ya ku unlock icloud kwenye ipad yangu.......0655048006 kama utaweza Click to expand... Kama inatumia iOS kuanzia 8.0 imekula kwako. Huyo aliekuuzia au kukupa kwambie akupe apple id na password.
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,799 Oct 12, 2015 #3 nani anauza ipad ?
utakuja JF-Expert Member Joined Sep 20, 2010 Posts 1,062 Reaction score 995 Oct 12, 2015 #4 Post kwenye magroup/website za kuuza na kununua kwamba unauze spare, maana unachotaka hakiwezekani.
kabiriga JF-Expert Member Joined Nov 18, 2012 Posts 1,163 Reaction score 1,213 Oct 12, 2015 #5 iCloud account ni sehemu ya security,ukiniambia unamtafuta mtu wa kukufungulia account yako ya iCloud unaimanisha hiyo iPad sio ya kwako nami napata shahuku niione maana yangu iliibiwa.
iCloud account ni sehemu ya security,ukiniambia unamtafuta mtu wa kukufungulia account yako ya iCloud unaimanisha hiyo iPad sio ya kwako nami napata shahuku niione maana yangu iliibiwa.