Hahaha
Kwa hyo nyie ile miaka mi 4 mliyotawala mlikuwa mnawahonga mabeki wa yanga si ndio?
Kubalini wakati wenu umefika ukuta jipangeni vzuro tu Kama yanga ilovyojipanga
Mkishangaa kuna timu 2 zimejiimarisha zaid SINGIDA NA AZAM sio timu za kuzibeza kabisa
Sio muda wa kutoa lawama huu chukulien Kama changamoto tu hyo
Man u mwaka wa kumi sasa mambo Bado hayaendi nao vp wamehongwa na Liverpool au man city?
HAKUNA TIMU ISIYOFUNGWA DUNIANI
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app