N ninanina Member Joined Jun 25, 2011 Posts 37 Reaction score 24 Aug 24, 2018 #1 Waheshimiwa, nipo mji wa waheshimiwa weekend hii. Niliambiwa kuna pub/club mpya imefunguliwa Dodoma inaitwa Pestana, iko wapi kwa wale mnaijua Dodoma?
Waheshimiwa, nipo mji wa waheshimiwa weekend hii. Niliambiwa kuna pub/club mpya imefunguliwa Dodoma inaitwa Pestana, iko wapi kwa wale mnaijua Dodoma?
Wick JF-Expert Member Joined Dec 19, 2012 Posts 8,312 Reaction score 12,194 Aug 24, 2018 #2 Sipo dodoma lakini nimepewa taarifa kuna kiwanja kipya maeneo ya kilimani!.. nyuma ya dodoma hotel kama waelekea ntyuka hebu kakithaminishe mjumbe!.
Sipo dodoma lakini nimepewa taarifa kuna kiwanja kipya maeneo ya kilimani!.. nyuma ya dodoma hotel kama waelekea ntyuka hebu kakithaminishe mjumbe!.
Udambu Udambu Senior Member Joined Aug 8, 2018 Posts 188 Reaction score 352 Aug 24, 2018 #3 Hakuna kitu hapo Mkuu. Don't waste your time. Dom Ni mji wa kishamba sana. Njo uhindini hapa tukamate magoma tukalale....Period
Hakuna kitu hapo Mkuu. Don't waste your time. Dom Ni mji wa kishamba sana. Njo uhindini hapa tukamate magoma tukalale....Period
Ndalama JF-Expert Member Joined Nov 22, 2011 Posts 8,787 Reaction score 6,542 Aug 24, 2018 #4 Udambu Udambu said: Hakuna kitu hapo Mkuu. Don't waste your time. Dom Ni mji wa kishamba sana. Njo uhindini hapa tukamate magoma tukalale....Period Click to expand... Aisee Sent using Jamii Forums mobile app
Udambu Udambu said: Hakuna kitu hapo Mkuu. Don't waste your time. Dom Ni mji wa kishamba sana. Njo uhindini hapa tukamate magoma tukalale....Period Click to expand... Aisee Sent using Jamii Forums mobile app
Jurrasic Park JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 3,831 Reaction score 6,878 Aug 24, 2018 #5 Sasa dodoma unaenda kufanya nini si ni bora uje huku kishimundu tunywe mbege na kitimoto. Achana na hilo jiji uchwara lilojaa watu wanaonuka vitunguu na nguo zilizojaa vishona nguo na ndulele
Sasa dodoma unaenda kufanya nini si ni bora uje huku kishimundu tunywe mbege na kitimoto. Achana na hilo jiji uchwara lilojaa watu wanaonuka vitunguu na nguo zilizojaa vishona nguo na ndulele