Acha zako Idrissa ndo anampa Milly habari za ndani Milly anazileta uwanjani kina Dougie wanaanza kumchamba Milly mwisho wanarudi kwa Idriss.Mwisho wa siku Idriss akwendreeee eti mchekeshaji kiiiiruJitahidi kumpamba na title ambazo hazina uzito kwa sasa. Huyo anaetoa conversation zake za private na Idris ni nani? Dougimasta, mati na akina utajipanga wameyajulia wapi hayo mambo yake ya ndani kama sio yeye ndio anawaeleza? Hao ndio viongozi wa fans/washabiki wake, na ndio hao wanaopost instagram kumtukana Idris, na before that walimtukana Dai na Zari mnoo. Wewe endelea kumsafisha Wema hapa but we all know the kind of person she is.
SHILAWADU oyeeeeeeeeewakijibu uniquote....umbea suna babu shilawadu foreveeer
Hiyo hakunaga....hapo kuna watu wanatamani mama lao hata awapige tu busu la shavuni....eti aogopwe?..Labda na wanaume wa Dar mkuu ila wa mkoani na mbelezz kama Le Mbebez Le Mutuz alosema Madame ni mlaiiiniii hakunaga uoga.Usidanganye,hakwenda kozi wema hajawahi kwenda kumpa sapoti kwenye events zao za fun fellas. Na alitoa maelezo why hakutaka kuitwa shemeji.
All in all hawa watu walikuwa wanaigiza kuanzia kwenye preg na mambo yao kiukweli kwa mtu makini utajua tu kuwa zilikuwa ni drama na kama kulikuwa na rshp basi iliishaga muda sema ndo hvy jamaa alikuwa akikifikiria kichambo cha team wema. Tuendako wanaume watamwogopa wema sababu ya team yake
Ni kweli....Although Iddy alishinda BBA Africa kuna waliokuwa hawamjui wakamjua pale alipompa Wema ujauzito. Mmojawapo Dadaangu tehtehKwa kweli, hata mimi nimemuelewa sana Idris. Relationship yake na Wema imekua ni yake na the rest of team Wema. Yaani wakikosana na Wema kidogo tuu akina Dougiemasta wanaanza kumtukana instagram. Sasa kaka wa watu amechoka. Hap team Wema wanamuharibia sana Wema, hivi hivi walimsakama Diamond na ile "bring back our wema" haya yameishia wapi? Idris kama ana akili asepe, maana wameshaanza kusema kama sio Wema Idris asingekua na jina Tz.
Wema akifikisha miaka 35 akili itamkaa sawa.
Mambo ya ndani kama yapi bwana. Hebu wachaga kuassume. Idriss hajawahi kusemwa kwa kutumia mambo ya ndani hata siku moja. Sana sana yeye ndo anajisemesha kuutwaaa. Dougiemasta kamsema kwa kutumia post ambayo ni yeye mwenyewe aliiweka Instagram. Hebu acheni kumblame Madam Wema kwa vitu vya kijinga!Jitahidi kumpamba na title ambazo hazina uzito kwa sasa. Huyo anaetoa conversation zake za private na Idris ni nani? Dougimasta, mati na akina utajipanga wameyajulia wapi hayo mambo yake ya ndani kama sio yeye ndio anawaeleza? Hao ndio viongozi wa fans/washabiki wake, na ndio hao wanaopost instagram kumtukana Idris, na before that walimtukana Dai na Zari mnoo. Wewe endelea kumsafisha Wema hapa but we all know the kind of person she is.
Hahahaaaa,mkuu umeniacha hoi,ila kuna ukweli kwenye hayo. Wapo ambao hawajali ametembea na wangapi ni issue ambayo wanawake wengi wanapitia sema haijulikani msululu kwa sababu sio mastaa,but issue ya sepenga ni kupangiwa life yake ya privacy na so call fans wake. Yaan hawa fans wanatamani hata wamchagulie style ya kukwichikwichi IdrisHiyo hakunaga....hapo kuna watu wanatamani mama lao hata awapige tu busu la shavuni....eti aogopwe?..Labda na wanaume wa Dar mkuu ila wa mkoani na mbelezz kama Le Mbebez Le Mutuz alosema Madame ni mlaiiiniii hakunaga uoga.
mambo anayoyafanya yanachekeshaMsanii wa kuchekesha?! Kha!
Kwanza huyu mwanamke alikuwa anamrudisha Diamond nyuma. .Poleni sana. Diamond has never needed Wema wala mashabiki wa Wema. Zile campaign za team Wema za kuto kumpigia kura Diamond na kumpigia Davido last year viliishia wapi? Diamond will remain Diamond and on top of his game, and Wema's fans will remain delusional souls.
Wema alimheshimu Sana Idriss sema yeye na utoto wake tu ndo vimemharibia mana ukiangalia wema alikubali sana kushuka for the sake of love Ila inavyoonyesha wema nae alishindwa jamaniMambo ya ndani kama yapi bwana. Hebu wachaga kuassume. Idriss hajawahi kusemwa kwa kutumia mambo ya ndani hata siku moja. Sana sana yeye ndo anajisemesha kuutwaaa. Dougiemasta kamsema kwa kutumia post ambayo ni yeye mwenyewe aliiweka Instagram. Hebu acheni kumblame Madam Wema kwa vitu vya kijinga!
Mhhh wabongo bwana,sasa simba katafuta wapi ushoga? Mkuu hivi sio wema alokuwa akicrop pics za domo kwenye matangazo yake ya black tie? Hivi sio wema alokuwa akilalamika kuwa domo anamfitini kwenye ukumbi waloandaa kwa ajili ya hy tai nyeusi? Na ni nani alotaka mambo yaishe kati yao? Sio bure ndugu utakuwa umekunywa uji wa magimbi mkuu.Wema ni Mama Mlezi wa Bongo Movies na Watoto wa Bongo Fleva, kujenga nae uhasama wowote, popote nikutafuta kupotea mazima...
Kaka Simba kaona nyota inafifia ameanza kutafuta ushoga kwa Godmother!
Hawa watu wanachekesha sana mkuu. We waache waote ndoto za alinacha,dai yuleeee anayeyaPoleni sana. Diamond has never needed Wema wala mashabiki wa Wema. Zile campaign za team Wema za kuto kumpigia kura Diamond na kumpigia Davido last year viliishia wapi? Diamond will remain Diamond and on top of his game, and Wema's fans will remain delusional souls.
Mhhh madam mwenye matusi ya nguoni ndo huyo yuko humble? Ningekuwa sijawahi ione video yake akiporomosha matusi ya nguoni kwa mlinzi ningekubali,kama tu mlinzi alikula matusi vile hao wasanii wanaosaidiwa ni kuifanya jamii ya watu kama ww waamini kuwa yu asaidia watu.Pole dada.
Nimemzungumzia Wema Abraham Sepetu, Miss Tanzania, Mwanasiasa, First Lady wa Bongo Movie na Malkia wa Timu ya Mastaa inayojulikana kama Team Wema... Sijazungumzia mashabiki wala wasemaji waliojiteua wa mitandaoni.
Madame hajawahi kuwa na chuki za kipuuzi, ni mhumble, na amekuwa akiwasaidia hawa vijana professionally bila kinyongo wala visasi.
Unless unamjadili Madame Wema Abraham Sepetu kwa rejea ya vitendo na maneno ya washabiki wake...
Hajadelete acc,nafikiri amepumzika kwa muda tuAnamuiga Justin Baiber haha mwenzake kajitoa Instagram anajiweza hategemei ila idris nimemuona mjinga sana kudelete account yke yenye followers zaid ya 1M wakat sikuhiz zimekuja opportunity nyingi zakuingiz pesa thru mtandao kama ile binary waliyoenda kuzindua juz nae alialikwa yote nikutokana na followers wengi mtandaoni"
Tatzo lakuingiza mapenz na kaz..kupenda malaya nakuhis utambadilisha + utoto mwingi.