lendila JF-Expert Member Joined Sep 26, 2012 Posts 5,805 Reaction score 4,374 Feb 15, 2015 #1 Ibada ina raha yake, tena sana,unaweza kwenda kwenye nyumba ya ibada ukiwa na matatizo mengi sana lkn ukisikiliza mahubiri matatizo yako yanahisha kabisa,kweli neno la mungu ndio njia ya kweli na uzima, asante mungu kwa kunifikisha hapa nilipo leo
Ibada ina raha yake, tena sana,unaweza kwenda kwenye nyumba ya ibada ukiwa na matatizo mengi sana lkn ukisikiliza mahubiri matatizo yako yanahisha kabisa,kweli neno la mungu ndio njia ya kweli na uzima, asante mungu kwa kunifikisha hapa nilipo leo
Junior. Cux JF-Expert Member Joined Feb 3, 2011 Posts 5,319 Reaction score 3,797 Feb 15, 2015 #3 amen....
malipula JF-Expert Member Joined Sep 30, 2010 Posts 324 Reaction score 122 Feb 15, 2015 #4 Mungu anakaa katikati ya kusanyiko la watu wake na kuwaponya na kuwaondolea yanayowasibu
D dagii JF-Expert Member Joined Dec 23, 2013 Posts 4,959 Reaction score 3,777 Feb 15, 2015 #5 Sure god z great ndugu