]Nipe hiyo sita na nusu nikupe yangu mpya 60 gb[/COLOR] kama ukitaka ni pm sio matani na kama pia unahitaji laptop na home theatye. Ni ambie laptop za samsung memory 2gb ram 2gb, hdd 320gb. Sio utani, namaanisha, jumla na reja reja zote ninazo, ndo nimetoka kutoa melini juzi mombasa porti.