Huyu ndiye Padri Privatus Mutekanga Karugendo (1956-2021)

Rest in Peace Mr. Karugendo.

Ukishajua Mungu hayupo na hizi dini ni biashara za watu tu, huwezi kusumbuliwa na hii migogoro.

Yani watu wanakufa kwa UKIMWI, wanashindwa kujizuia kuacha ngono, kanisa linakataza condom!
 
Na Mungu alipowaambia wana wa Israel wakatubu kwa makuhani, alikuwa analeta mfumo wa ajabu?
Usikosoe anachofanya mwenzio, fanya unachoona kinafaa( kwenye masuala ya imani), maana anafuata maandiko
Baada ya Yesu kufa msalabani everything is clear hakuna maombi yanayopokelewa na MUNGU mbinguni pasipo kutumia jina la Yesu christo,tatizo lenu ndg zangu waroma mnamuamini sana Papa na Padri kuliko Yesu anaesamehe dhambi,unaenda kumhadithia Padri dhambi zako eti nimezini na mtu Fulani hui ni ujinga
 
So hatutakiwi kabisa kufuata Agano la kale?
 
Sijui aliwaza nini huyu aliyekuwa Mtumishi wa Mungu kutumia jina la jinsia nyingine.
Mambo ya utawala tuu, unajua serikali zetu za kina magofool wao walikuwa wanakesha huku kuwakamata wanaoandika ukweli, kwaiyo bila ku hide ID hutokuwa salama na kamata kamata ya mwendesha mashtaka
 
Nilichojifunza hapa ni kwamba, Askofu Niguwemizi roho yake inaendeshwa na shetani himself and yet anavaa joho la Uaskofu.
Ni ajabu kama kwa haraka hivi umeshajifunza, tena kwa kusikia hoja za upande mmoja! Genius!
 
roho yake inaendeshwa na shetani himself and yet anavaa joho la Uaskofu
Ni busara kuhukumu baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili. Tofauti na hapo unadhihirisha jinsi unavyoongozwa na hisia zaidi ya akili.

Pia nimejifunza kwamba Kanisa Katoliki halimtumaini Mungu wa KWELI bali binadamu anayeitwa Papa.
Wakatoliki tunamuamini na kumtumikia Mungu mmoja aliyejidhihirisha kwetu kupitia nafsi tatu:
• Mungu Baba
• Mungu Mwana
• Mungu Roho Mtakatifu

Kanisa Katoliki lina asili kutokea kwa mitume ambao waliongozwa na Petro baada ya kuchaguliwa na Yesu Kristu mwenyewe (Mathayo 16:18). Mtume Petro ndiyo Papa wa kwanza na huyu wa sasa, Francis, ni wa 265.

Papa ni kiongozi wa dunia wa Kanisa lililoanzishwa na Yesu Kristu mwenyewe. Kanisa Katoliki linamtumainia kiongozi wake, lakini hatujawahi kumuabudu wala imani yetu haipo kwa Papa bali Mungu.

Tatu nimegundua kwamba Kanisa Katoliki hujivika joho la demokrasia nchi mbalimbali wakati ndani ya Kanisa hilo hawaitambui
Kanisa Katoliki linaamini katika Theocracy (uongozi wa Kimungu), Mungu ndiyo kiongozi wetu na kila kitu. Tunaamini kiasi fulani katika Demokrasia (uongozi wa mwanadamu) lakini ni ile isiyopingana na mafundisho ya Kimungu.

Nne. Hawa watoto wa mapadri tunaoishi nao mitaani hatima yao ipoje kupitia misimamo ya kipagani ya Kanisa?
Kanisa halijawahi kuwa na misimamo ya kipagani. Unless uthibitishe hizi tuhuma zako.
 
Huyu askofu Askofu Niwemugizi si ndie anajifanya mwanademokrasia ,kutwa yupo mitandaoni na kudai sijui haki kwa Watanzania kumbe yale anayohubiri ni tofauti na yale anayoyatenda, kelele zote ni za kutaka umaarufu tu kumbe anaroho mbaya kama ya paka shume.
 
Mkuu, na wewe unahukumu kwa kusikiliza upande mmoja? Hayo ni matumizi ya hisia badala akili.
 
Huu ulikuwa mwanzo wa kuanzishwa Kanisa la Anglikana (The Anglican Church au The Church Of England).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…