Huyu mdada haeleweki

Sass unachokiombea ushauri hapo ni nini yaani unataka kutumia akili zetu wakati na wewe una za kwako
 
Nyie hamjakielewa hiki kijamaa..kinataka tutie neno kua demu anakipenda..ili ki justify kumla..acha tamaa fanya biashara
aaahaaaha ila mkuu bhana haya wacha nipambane na biashara nakubali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…