Ipo siku watajua kiswahili fasaha!Warundi ni watu wanaojitahidi sana kutumia lugha ya Kiswahili
Warundi ni watu wanaojitahidi sana kutumia lugha ya Kiswahili
Ni kweli Mkuu! Tofauti na jamaa zangu wa Bw. Kaguta.
Hao ndugu zetu hawakipendi kabisa sijui kwa nini!
Nilishawahi kuwauliza wakanambia kuwa kwao kiswahili hakipendwi kwasababu wanaona ni lugha ya kikatili, ni lugha ya vita. Hii ilitokana na ukweli kwamba wakati wa vita Amini wanajeshi walikuwa wakikitumia sana wakati wakiwakamata, kuwabaka na kuwatesa raia.
Sidhani kama ni sahihi kuwashangaa Warundi kushindwa kwao Kiswahili ilhali hata hapa jamvini wapo watanzania wanaongea stupidly
MSHAHALA
MUNAKWENDA
TUWACHENI TUPUMUWE
KUWADHARIRISHA
KUMTEKELEZA MTOTO n.k
Sidhani kama ni sahihi kuwashangaa Warundi kushindwa kwao Kiswahili ilhali hata hapa jamvini wapo watanzania wanaongea stupidly
MSHAHALA
MUNAKWENDA
TUWACHENI TUPUMUWE
KUWADHARIRISHA
KUMTEKELEZA MTOTO n.k
Nilishawahi kuwauliza wakanambia kuwa kwao kiswahili hakipendwi kwasababu wanaona ni lugha ya kikatili, ni lugha ya vita. Hii ilitokana na ukweli kwamba wakati wa vita Amini wanajeshi walikuwa wakikitumia sana wakati wakiwakamata, kuwabaka na kuwatesa raia.
Hao ni wanafiki na waongo wakubwa. mbona Waingereza waliwatawala wakawabaka, kuwatesa na kuwafanya watumwa wa Daraja la tatu, zaidi hata ya Amini ktk nchi yao wenyewe lkn bado wanawapenda na kiingereza wanakipenda?
Hao ni wanafiki na waongo wakubwa. mbona Waingereza waliwatawala wakawabaka, kuwatesa na kuwafanya watumwa wa Daraja la tatu, zaidi hata ya Amini ktk nchi yao wenyewe lkn bado wanawapenda na kiingereza wanakipenda?
Sio unafiki, kama unavyosema. Waingereza hawakufanya ukatili kiasi hiki kama ilivyo Kenya, Zimbabwe etc. Tayari waliwakuta watu wanajitawala wenyewe. Baada ya uhuru wao walikazana na kujifunza Kiingereza sio kama hapa kwetu Tanzania. Kiswahili kwao kilikua kinatumika na wanajeshi na polisi (hadi leo) na kama unajua historia ya Uganda ya miaka 70 and 80 wanajeshi walikua wakatili ndo maana watu wa miaka hiyo walichukia kiswahili. Kumbuka lugha ni mawasiliano, tayari wengi wanaweza kuongea kingereza kwahio kujifunza kiswahili kidogo ni added advantage.
Kumbuka pia lugha inategemea na jamii. Kiswahili ya Zanzibar na cha Mbeya au Bukoba ni tofauti. Kiingereza cha India au Australia na Merikani ni tofauti.
Hao ndugu zetu hawakipendi kabisa sijui kwa nini!