HTC Chacha for sale

alsaidy

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2009
Posts
334
Reaction score
90
Wakuu,

HTC Chacha iko sokoni, nimeinunua mpya nimeitumia miezi 4 iko katika hali nzuri inafanya kazi kama kawaida.
Bei ni Tsh. 550,000

Vifaa vyake vilivyokuja navyo ni

1. Charger
2. Get started Manual
3. Earphone
4. Protective cover - Bluu

Waliokuwa interested plz call 0784/0715/0773 418866


Specification zake hizi hapa HTC ChaCha - Full phone specifications
 

Attachments

  • photo.JPG
    58.3 KB · Views: 82
  • photo (3).JPG
    66.3 KB · Views: 57
mkuu ukimpata mkurya mwenye jina kama hilo mbona atachukua huo mzigo bila discount.
 
Ni simu nzuri sana; lakini kwa nini kuibiana hela? HTC Cha Cha Mpya kabisa ni $250 (400,000/=) kwa pesa za Tanzania. Sasa wewe umeitumia ya kwako kwa miezi minne uaniuza 550,000/=? Acha wizi wa ki-CCM!!
 
Ni simu nzuri sana; lakini kwa nini kuibiana hela? HTC Cha Cha Mpya kabisa ni $250 (400,000/=) kwa pesa za Tanzania. Sasa wewe umeitumia ya kwako kwa miezi minne uaniuza 550,000/=? Acha wizi wa ki-CCM!!

mkuu hapa mshikaji mpya na one year warrnt kwa 245 dollas
 
Ni simu nzuri sana; lakini kwa nini kuibiana hela? HTC Cha Cha Mpya kabisa ni $250 (400,000/=) kwa pesa za Tanzania. Sasa wewe umeitumia ya kwako kwa miezi minne uaniuza 550,000/=? Acha wizi wa ki-CCM!!

Nashkuru mkuu kwa kuniita mwizi.

ungecomment kuwa bei ni kubwa ukatoa ofa yako ungepungua nini?

Ustaarabu kitu cha bure............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…