HOUSE FOR SALE(DHARURA)

bazoka

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
300
Reaction score
141
Mahali: Malamba Mawili(Mbezi Luis) km 6.7 toka barabara ya lami(Morogoro Road)

Nyumba mpya yenye 3 bed rooms moja master,dining,jiko,public toilet.

Sewage system imekamilika.

Bado Tiles na Roofing.

Bei 20 million

Ukubwa wa kiwanja ni 20 kwa 21

Call 0622 027490

Picha angalia chini.
 
Mwenye hela chukua mzgo uo umetulia, mtapanga mpaka lini
 
Mbona kwenye msingi inaonyesha michirizi ambayo inatokana na kutwama kwa maji??
Haina gutter mvua ikinyeesha maji yanayogonga ardhini ndio yanarusha huo utando mwekundu.
 
Ni umaskini but kwa muonekano wa hzo picha naona bei tajwa iko reasonable kabisa
 
Mwaka huu tutaona mengi sana.. kuna jamaa anauza Nyumba yake million 10 ikiwa completed na miundombinu yote ya maji na Umeme imemalizika. Kwa tathmini ya haraka haraka ile Nyumba ni ya million zaidi ya 30 maana ina uwanja mkubwa kama wa taifa.

Mungu akusaidie uuze kwa bei uliyoweka ndugu! Najua hadi mwanaume anafikia hata ya kuuza Nyumba aliyoijenga kwa muda mrefu na tabu ni makubwa yamemfika.

Kila la kheri!
 
Hahahaha nimecheka sana mkuu
 
Hiyo nyingine iko wapi? nijuze mkuu, huu ndio wakati wa nunuanunua kwa sisi wengine
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…