K kadoto Member Joined Sep 9, 2014 Posts 33 Reaction score 4 Oct 13, 2014 #1 Mimi nashangaa kuona kama unaenda hospitali ya serikali unakaa folen halafu unaambiwa dawa ununue nje ya hospital. Hapo kuna hospitali, au nijue kwa utafiti wenu JamiiForum
Mimi nashangaa kuona kama unaenda hospitali ya serikali unakaa folen halafu unaambiwa dawa ununue nje ya hospital. Hapo kuna hospitali, au nijue kwa utafiti wenu JamiiForum
baharia Ar JF-Expert Member Joined Dec 1, 2013 Posts 837 Reaction score 316 Oct 13, 2014 #2 Kwani viongozi wanatibiwaga hospital za kwetu? sasa zitakuaje za kijanja nahali viongozi wanachangia kuzididimizaaa
Kwani viongozi wanatibiwaga hospital za kwetu? sasa zitakuaje za kijanja nahali viongozi wanachangia kuzididimizaaa