walichofanya kenya ndio mfano wa kuigwa? unajuwa kwamba mshahara wa makamo wa rais wa kenya ndio mshahara mkubwa kuliko wa kiongozi yoyote duniani? usiropokwe tu kwa chuki zako kwa kuwa huwapendi wazanzibari, inawekana wakaja kupiga hatua kuliko hata sisi huku wenye, rasilimali kibaooo ila zote wanazichukuwa wenyewe wazungu