ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,826
Iko mezani hyoooPOMBE Kali hizi k vant,konyagi ukinywa ukija kulala usiku unaamka Kama vile unataka kufa yaani unahangaika unatafuta maji unakuta hupati Tena usingizi mpaka saa 11.sasa maisha ya Nini hayo ya kujitesa Mwisho ufe kwa high blood pressure au stroke.ndo hivyo lakini neno langu sio SHERIA hata nikisema Sana POMBE zitaendelea kunywewa tu.lakini ulevi hauna faida Wala maana zaidi ya ku suffer tu.mwisho wa siku UKAWA mlevi wa kupitiliza ukaacha hata kufuatilia maendeleo ya mtoto huo Sasa utakuwa sio ulevi juo utakuwa Ni wehu.lakini salute kwa watu wote wanaokula vyombo na bado Mambo yao yanaenda Kama kawaida.baba zetu majumbani na wale wa maada maalum ya walevi najua wengi wanalewa Ila kwa akili Sana lakini 80% ya vijana below miaka 25 wanalewa hatari na hawana kitu katika maisha hela sijui Ni stress za aina gani hizo.mtu Kama huyo asiyeshaurika anatakiwa apatiwe tiba gani Zaidi ya kuachwa aendelee ku suffer?
Nilijua tu utakuja wewe na mshana
Tungi ndy starehe yetuMkuu nlijua lazima uwepi
Amina hio tumekubaliKuanzia sasa usinywe maji tu kunywa na mvinyo kwaajili ya tumbo lako na magonjwa yanayokusumbua Mara Kwa Mara Tim 1 5:6
Hii kitu huwa naipenda sana
Pole kwa yaliyokukutaPOMBE Kali hizi k vant,konyagi ukinywa ukija kulala usiku unaamka Kama vile unataka kufa yaani unahangaika unatafuta maji unakuta hupati Tena usingizi mpaka saa 11.sasa maisha ya Nini hayo ya kujitesa Mwisho ufe kwa high blood pressure au stroke.ndo hivyo lakini neno langu sio SHERIA hata nikisema Sana POMBE zitaendelea kunywewa tu.lakini ulevi hauna faida Wala maana zaidi ya ku suffer tu.mwisho wa siku UKAWA mlevi wa kupitiliza ukaacha hata kufuatilia maendeleo ya mtoto huo Sasa utakuwa sio ulevi juo utakuwa Ni wehu.lakini salute kwa watu wote wanaokula vyombo na bado Mambo yao yanaenda Kama kawaida.baba zetu majumbani na wale wa maada maalum ya walevi najua wengi wanalewa Ila kwa akili Sana lakini 80% ya vijana below miaka 25 wanalewa hatari na hawana kitu katika maisha hela sijui Ni stress za aina gani hizo.mtu Kama huyo asiyeshaurika anatakiwa apatiwe tiba gani Zaidi ya kuachwa aendelee ku suffer?
Mimi kuna muda nahisi ninywe tu nilerax kidogo duniani mambo mengi
mkuu bora usitishe hiyo mazoea hatutaki tukupoteza .pombe sio maji kuwa makini.
Kula nyagi,kula vant...life is too short na kifo hakiepukiki...utaikimbia pombe lakini utakufa kwa janga lolote!