Hili la Masanja Mkandamizaji Kugeukia Muziki wa Injili Nalo si "Usanii"!!!???

Wakristo hasa wapentekoste tumeshalewa muzik wa injili,m2 akijiita ameokoka tu na anaimba anaitwa kuhubiri,hivi toka lini injili Ya Mizaha kama ya Masanja ikawa mziki wa injili?ile ni Bongo fleva ktk maneno ya Injili.
 
Huyu ni tapeli wa kiroho.Wala hajaokoko.
 
sasa afanye nini!! ndo yake na manjy ndo hivyo tena keshaachika...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…