Awali mkandamizaji alikua anaimba muziki wa injili kwa kujiiba-iba lakini inavyoonekana sasa baada ya kutemwa TBC Kimkataba MM ameamua kujikita mazima, huku ikionekana kabisa yuko kibiashara zaidi kwa jinsi nilivyomuona akitumbuiza Tanga kupitia TBC
Sijui wanajamvi mnasemaje....