Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,140
- 13,215
Awali mkandamizaji alikua anaimba muziki wa injili kwa kujiiba-iba lakini inavyoonekana sasa baada ya kutemwa TBC Kimkataba MM ameamua kujikita mazima, huku ikionekana kabisa yuko kibiashara zaidi kwa jinsi nilivyomuona akitumbuiza Tanga kupitia TBC
Sijui wanajamvi mnasemaje....
Sijui wanajamvi mnasemaje....