Serikali ya New Zealand inaendesha zoezi la upigaji kura ktk mtandao wa Yahoo,kupata maoni yetu kuhusu kupiga marufuku vazi la NIKAAB ktk nchi yao.Pls saidia dada zetu wa New Zealand kwa kupiga kura ya "NO".
Fungua,angalia News - Yahoo! New Zealand
mpaka sasa waislamu wapo nyuma kwa kura 6000. Pls usidharau hii ni jihadi. fungua na click "NO". Pls tuma msg hii kwa waislamu.