Hivi ni haki kwa mwanamke au mwanaume kuchati na ex boy wake au ex-girl wake hali ya kuwa unajua ex wako huyoo bado anahitaji nafasi ndani ya moyo wako?
It is the content that counts....
Mojawapo ya haki ya kibinadamu ni uhuru wa kuwasiliana na binadamu yeyote hapa duniani.
Judge according to content of the chat.
Pia its undebatable kuwa ukaribu between potential coupling is a threat
Hivi ni haki kwa mwanamke au mwanaume kuchati na ex boy wake au ex-girl wake hali ya kuwa unajua ex wako huyoo bado anahitaji nafasi ndani ya moyo wako?
Nihalali iwapo wewe na EX-wako mliachana kwa amani mnaweza chart tu kama mafariki na sio wapenzi na hii ni kama haupo kwenye mahusiano na mtu mwingine
Nasio halali kama upo kwenye mahusiano mengine then una chart na EX-wako.
Hivi ni haki kwa mwanamke au mwanaume kuchati na ex boy wake au ex-girl wake hali ya kuwa unajua ex wako huyoo bado anahitaji nafasi ndani ya moyo wako?
it depends on 3 things, it depends na jinsi ulivyoachana naye, kama una mtu mwingine tayari au kama bado unampenda.
kwa kupitia hayo, unaweza kujua kama ni haki kuendeleza mawasiliano naye au la.
Nihalali iwapo wewe na EX-wako mliachana kwa amani mnaweza chart tu kama mafariki na sio wapenzi na hii ni kama haupo kwenye mahusiano na mtu mwingine
Nasio halali kama upo kwenye mahusiano mengine then una chart na EX-wako.