Wanahitajika data entrants wawili wawe na uwezo wa kutumia computer. Watatumia epi info kuingiza questionnaires 700 na wawe na uwezo wa kutumia hiyo program though watapata orientation.
Kila mmoja atalipwa 200,000 kwa kazihiyo itayochukua si zaidi ya siku 10 (hii ina maana kuwa kwa kazi yote kila data entrant analipwa 200,000/=). Cha muhimu ni quality work. Na kuna data quality assurance itafanyika. Aidha mhusika awe na LAPTOP yake atakayotumia.
If anyone interested and meeting criteria please email
damax@37.com indicating your qualifications and suitability.. U can also email your brief cv.
you should be located in Dar es salaam