endelea kuwapa moyo wenzako ndugu hakuna cha mkopo hapo. mchezo ndio ushaisha mkuu tarehe 17 magufuli ndio atafungua bunge sasa wewe utaupata huo mkopo lini?
endelea kuwapa moyo wenzako ndugu hakuna cha mkopo hapo. mchezo ndio ushaisha mkuu tarehe 17 magufuli ndio atafungua bunge sasa wewe utaupata huo mkopo lini?
Kuna watu wana IQ ndogo wanadhani Makufuli kaja na hela.Kama hazina ni nyeupe tegemea kitakachokusanywa karibuni kitakwenda bungeni,mawaziri wapya n.k.Maana hao wana uwezo wa kuitingisha serikali sio wanafunzi.
Vijana wa udsm wameenda bodi na wazir wa mikopo bt majibu walopewa ni kwamba majina mengine yatatoka bt haijulikani ni ln then mpaka serikali iwape pesa ndo hayo ya second batch yatatoka sasa swal ni je serikali isipo wap hzo pesa??