wadau, kuna harakat zinaendeshwa katika hatua za awali, mkoan ruvuma, walimu wapatao 100, walikutana siku ya tarehe 16, june shule ya mfaranyak mjini songea! ktk kikao hicho, walimu walilamikia utendaj wa kudhulma dhid ya viongoz wa cwt, wanadai hakuna marejesh ya makato yao, mgawo wa mapato, mwalim house, hakuna semina za chama, wanaambulia fulana kila mei moc, kiongoz mwana harakat ni mwl. Godluck Lesilwa! Tayar Walimu Hao Wameshapata Mwanasheria Kutoka Chadema Songea Na Wanajiandaa Kupeleka Shaur Mahakamani" Wito Wangu, Walimu Mlioko Mikoa Mengine Amkeni! Harakat Zimeanza! By Mwl, Wa Science, Katibu Wa Harakati