habar za asubuh

Mgalatasalai

Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
8
Reaction score
4
naomba msaada wa ku install Ram ktk pc yangu...kuna slots 2 lakin nikiweka Ram pande zote pc haiwaki,ila nikitoa moja inafanya kaz!...tatizo ni nin hapo?
 
naomba msaada wa ku install Ram ktk pc yangu...kuna slots 2 lakin nikiweka Ram pande zote pc haiwaki,ila nikitoa moja inafanya kaz!...tatizo ni nin hapo?

ram zinatakiwa ziwe ukubwa sawa ndo zitakubali, eg 1gb na slot ingine 1gb vinginevyo zitagoma
 
Yap,
znatakiwa iwe kama mzani
ili zcpunjane ndo zta function
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…