Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
Kma ndivyo we endelea watafute watu kama Msama,Mbogo na wengineo uongeenao ,aidhaa pata uzoefu kwa wanamuziki wenzio usijwe ingizwa chaka na WadosiAs ante kyalosangi lakini nimesha omba saana kukaa nae kujadili mwendelezo huu hanipi time. Yupo bize saana name hanipi ahadi yeyote nisaidieni mawazo kabla walimwengu hawaja nishauri vbaya kuna watu walisha nishauri niiuze kimyakmya.ASANTE
Wadau mimi kwa majina ni Matendo Andrew ni Gospel singer, lakini hapa nimekuja kama Manager wa Matendo Andrew. Nahitaji mtu au kampuni nifanye nayo kazi, kazi ni hii hapa. Nimesha record album yenye nyimbo 18 audio na video album ina nyimbo 8.
Nipo na rafiki yangu fulani ambae nilimshawishi kufanya nae biashara hii yaani mimi nilitoa mawazo ya hii biashara na yeye nikamshawishi awekeze pesa, tumefanikiwa kurecord kama nilivyo sema hapo juu, lakini nilipo mshawishi tuandike mkataba wa makubaliano juu ya ku share huku ali sua sua mpaka leo sijui kwa nini.
Nyimbo zipo radio na tv, baadhi, na COSSOTA nimesha sajili, nikaandaa bajeji ya uzinduzi na kopi za kuanzia biashara yetu nikampa tukakubaliana tutazindua kabla ya Pasaka, lakini naona siku zimeisha na hakuna chochote kinacho endelea. Japo napata tetesi kwamba hali yake kifedha sio nzuri kwa sasa.
Sasa wadau mimi hii ndio nilisha ianza na kwamba itakua ndio kazi yangu japo nina proffesion nyingine, nashindwa kuendelea mbele kwasababu yeye ndio alikua muwezeshaji wa mambo yote ili mwisho wa siku tufanye biashara hii vizuri na kwa faida najua mnajua ilivyo na maslai ikifanywa vyema. Sasa mimi nahisi huyu rafiki yangu alikua ananisaidia tuu kuinua huduma yangu ya uimbaji na sio na yeye kuhitaji kutengeneza faida.
Sasa nimepata wazo la kutafuta mtu mzoefu wa biashara hii, tukutane akague bidhaa hii, aangalie jinsi gani itaingia sokoni halafu mimi nita mkutanisha na mwekezaji wa mwanzo ili wawe wame share bidhaa iende sokoni, na tutapanga jinsi gani biashara itafanyika.
Kwa kifupi saana ndio hivyo, angalia video mbili youtube kwa kuandika Matendo Andrew Usinipite na Matendo Andrew Ndani ya yesu, au tembelea http://matendomgeni.blogspot.com/ usikilize baadhi ya nyimbo au nicheck whatsup kwa 0759 83 93 10 nikutumie audio na tuwasiliane zaidi kwa 0714 04 50 80.
ASANTE.
Unafanya Gospel kama business
Usiweke sanaa mbele pesa kwakua ni kosa nyimbo za Mungu as businesses
Shame upon you! unafanya gospel kibiashara? Ushindwe na Ulegee . Am tellin you hautafika MBALI, na utazimwa kama KIBATARI! Gospel ya ukweli ipo Roman Catholic, KKKT, ANGLICAN na AIC coz wao wanafanya gospel kwa ajili ya kumtangaza Mungu, sio nyie makanjanja wa kaliba yako, mnaofanya gospel kwa sababu za kibiashara.
Kwa bahati mbaya hizo ulizo taja zoote ni kwaya na hari zao
kiuchumi siku zote hua si nzuri saana pamoja na kazi zao nzuuri wanazo fanya
umewahi kujiuliza kwa nini? Kumbuka kua Mungu hapendezwi na hari zetu mbaya
kiuchumi wakati ametupatia material ambapo kubadilisha kua bidhaa ni juhudi
yako mwanadamu alijua tukiwa kama wanyama hatutaweza akatupatia UTASHI
huo ndio utusaidie kujua lipi jema na lipi baya, kwahiyo wewe unatamani turecord nyimbo
tusikilize wenyewe? hebu umefika wakati tuache unafiki na roho za wivu naamini hapo
ulipo una album za waimbaji binafsi au unampenda mwimbaji binafsi, sasa bila juhudi binafsi
angefika hapo alipo mpaka unampenda? hata hivyo ubarikiwe kwa mchango wako nimekuelewa
ila sito regea kwa unyenyekevu nitamwimbia Mungu huku niki muomba akupeleke dukani ukanunue
album yangu itakayo kua na nyimbo 18 halafu kwa bei ya tsh 4000 tuu, ASANTE
hakuna cha RC,KKT wala cha AIC. Ote hao wanapiga mziki, hawamuimbii Mungu.
hakuna cha RC,KKT wala cha AIC. Ote hao wanapiga mziki, hawamuimbii Mungu.
Hakuna ilipo halalishwa huduma ya kimungu upewe bure japo sisi tunatoa bure hivi unajua thamani ya muZiki na unav yo andaliwa? Ukiwa mbishi kuwezi kujifunza Mimi najua kwa mwenye roho mbya hata ukimpa DVD bure ataivunja mbele yako then atanunua kwa hela
Kisilisili ili usijue kama anapenda kaz yako.
Unafanya Gospel kama business
Usiweke sanaa mbele pesa kwakua ni kosa nyimbo za Mungu as businesses