Wee Ciello unapitwa huku na AUDITOR!!!!!!!! Kaa mkao wa kapitishiwa INTERNAL AUDITS!! Sasa sijui Losses umsha ziimpare, contigent liabilities umemaliza na internal control ziko stand by!!!!!!!!!!
Kabila hujawekaa!!!!!! Hizi sifa ungeni PM TUU HOW COULD I BE UNECESSARLY RUDE TO SAY NO!!!!!!!! Sababu ulishamwaga mtama kwenye kuku wengi baaaaaaaaass!! Mi ushindani siuwezi banaaaa.! Ngoja niwaachie wenye visu vikali, mi nitashudia tu.
Roho inaniuma sanaaa lili fortune la mama mkata kiu nimelikosaaaa!!!! daaaaaaaaaah!
Wee Ciello unapitwa huku na AUDITOR!!!!!!!! Kaa mkao wa kapitishiwa INTERNAL AUDITS!! Sasa sijui Losses umsha ziimpare, contigent liabilities umemaliza na internal control ziko stand by!!!!!!!!!!
Wale wale wakina domo zege, alafu inaelekea unapenda kuhonga saana,
Sijui ukikutana na sura mong'o inakuwaje, ndo mambo ya kukimbiana hayo
Wale wale wakina domo zege, alafu inaelekea unapenda kuhonga saana,
Sijui ukikutana na sura mong'o inakuwaje, ndo mambo ya kukimbiana hayo
Huyu BAHILI KAMA NINI, amuhonge nani!!!! HAPO STORY TU KULA KWENU!!!!!!!!!!!!
Wa kuonga kina papaa mende, sijui msofe as hela zao ni easy money na hazina mipango,, mi sikuhongi than playin my part as a Man, to make sure my girl yupo secured socially na financially tena kwenye basic needs, ila mambo ya I phone 5 siyawezi kwa muda huu labda ujinunulie as income ipo budgeted sana as umri wa kuweka mambo sawa ndo huu.. Sasa tukianza kutumia hela kwenye gadgets then tuoane tukaish chumba kimoja cha kupanga sijui viwili ni ujinga
Mambo ni kujibana siku moja moja vacations za kufa mtu, then tunarudi kuhustle mwisho wa siku maisha yanasogea.. Siku moja moja trips za majuu zikitokea ndo gifts za hayo ma I phone 5 yanakuwepo as kule bei ni reasonable na huwez kutoka safar bila gifts kwa your loved ones
Hahahaaaaaa! MKATA KIU TUMIA PESA IKUZOEEEEE!!!!!!!!! Ujue the funny thing abt money, ukiwa na akiba hupati nyingine zaidi, unakuwa kama stuck!!!!!!!!!! Ila ukispend hadi ukahamaki utafanyaje washangaa wapata tu mapene. Wenyewe wadhungu wanasema GIVE AND SPEND AND GOD WILL SEND!!!!!!!!!!!!! Upo hapo!!!!!!!!!!
Hahahaaaaaa! MKATA KIU TUMIA PESA IKUZOEEEEE!!!!!!!!! Ujue the funny thing abt money, ukiwa na akiba hupati nyingine zaidi, unakuwa kama stuck!!!!!!!!!! Ila ukispend hadi ukahamaki utafanyaje washangaa wapata tu mapene. Wenyewe wadhungu wanasema GIVE AND SPEND AND GOD WILL SEND!!!!!!!!!!!!! Upo hapo!!!!!!!!!!