Gerald Hando: Makonda akikutwa na hatia atafukuzwa Kazi ya Ukuu wa Mkoa

Msimgeuke kama anapendwa na watanzania akaanzishe chama chake

Nchimbi nadhani waliowengi ,hawamfahamu kabisa
 
Hata wakilipiga chini lina ukwasi wa kutosha wa kulifanya liishi kama peponi kwa siku zote lilizobakiza duniani
 
KUNA MWINGINE WAMEMUITAAA HAHAHAAA KAMATI SHIKAMOOO KAOBGEAA MAMBO YA KUPOTEZANAA ATI UKIIKASHIFU SERIKALI POOLISI KAMATA TUNAMPOTEZAA KWIKWI....
 
Hivi bashite ana umri gani?
Miaka yake ni katiya 40-45 si zaid ya hapo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🪑🪑🪑🪑🪑💺💺💺💺🎶🎶🎶🎶🎶📌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…