Gari rav 4 inauzwa

Gari hiyo kwa 12m? Utakesha nayo sana...hiyo bei unapata Kili Time bomba kabisa...huyo mwenye 8m mpe fasta unless utauza chini ya hiyo 8
 
du mwambie mwenye hiyo gar anamjengo mkareee
 
Haya watu endeleeni na biashara,ishuya dolari imeishakuwa sorted out.
Naimani mleta uzi harudii tena kosa hilo.

Kazeni bei mchukue Rav 4 hiyo,roho za paka hizo,maana kama Escudo.
Kuna jamaa yangu alinunua miaka kibao,ameipinda balaa hadi anaibebea mkaa badi inapiga mzigo.

Mkuu ni Manual au Auto hiyo?
 

Bora unsaidie mkuu maana watu bado walikomalia kweli inshu ya dollar.. Btw ni Auto
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…