aisee..mbona hukuleta mrejesho?..mi gari ilikuwa ikizima nikaambiwa nianze na kubadilisha plugs, nimebadilisha, kuwasha check engine light imewaka, wakatoa betri kama lisaa limoja, ikazima ila sasa silencer ipo juu naambiwa nikafanya diagnostics, ebu nipe ushauri, nimechoka